Tuesday, November 22, 2016

Matukio ludewa

Mkuu wa wilaya ya Ludewa katika mkoa wa Njombe Mh,Andrea Tsere mapema november 22 amefanya mazungumzo mafupi na wazee wa Ludewa kwa lengo la kujadiliana mambo kadhaa yatakayosaidia kuongeza kasi ya maendeleo wilayani hapa.

No comments:

Post a Comment