Friday, September 2, 2016

Hizi Ndizo Filamu Zinazotamba Kwenye Tasnia ya Filamu Kwasasa




Hizi ni kati ya filamu zinazoendelea kusumbua katikati tasnia ya filamu, ubora wa Filamu hizi unasababisha zigombaniwe Sokoni. Kama utapenda filamu za kitanzania embu hakikisha hizi ni kati ya filamu zinazotakiwa kuwa kwenye maktaba yako. Pata nakala halisi zinapatikana katika matawi ya kampuni ya Steps entertainment limited.
FILAMU899



Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa

No comments:

Post a Comment