Tuesday, September 6, 2016

HII HAPA ORODHA MPYA YA MAKOCHA WANAOLIPWA MKWANJA MREFU ZAIDI DUNIANI KWA MWAKA


London,Uingereza.
WAKATI wachezaji wakiendelea kuvuna vipato vikubwa kila wanapohama kutoka timu moja na kwenda nyingine,makocha nao hawako nyuma kunenepesha akaunti zao.
Ifuatayo ni orodha ya makocha kumi (10) wanaolipwa mkwanja mrefu zaidi duniani kwa sasa.




Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa

No comments:

Post a Comment