Friday, August 26, 2016

SAMATTA AANGUKIA KUNDI F UROPA LEAGUE





Group A 3
Baada ya jana Mbwana Samatta kuisaidia Genk kufuzu hatua ya makundi ya Europa League, leo tayari makundi yamepangwa huku Genk ikiwa katika Kundi F pamoja na timu za Athletic Bilbao, Rapid Vienna na Sassuolo .
Makundi yote yapo kama ifuatavyo…
Group A 3Group A 2Group A 1

Comments


Ludewa yetu na maendeleo yetu posted by barnabas njenjema, kutoka Ludewa

No comments:

Post a Comment