Thursday, March 24, 2016

Miaka Sita ya Mahusiano Na Sioni Dalili Ya Ndoa, Naomba Ushauri Wako.




SeeBait
Mimi ni msichana wa umri wa miaka 27. Nimekuwa katika uhusiano wa kimapenzi na kijana mmoja  kwa muda wa miaka sita sasa. Isitoshe sisi ni majirani wa karibu. Aliniahidi atanioa, lakini kwa jinsi muda unavyokwenda naona kama kuna tofauti. Nahofia kuachwa.  Naombeni  ushauri  jamani .


Ludewa yetu na maendeleo yetu

No comments:

Post a Comment