LIVE UPDATE ;SIMBA VS NDANDA FC
mpira umemaliza kunako dimba la nangwanda sijaona mtwara na timu ya simba imeibuka kidedea kwa kushinda goli mbili kwa bila;
kwa matokeo hayo simba inafikisha point kumi na mbili na ndanda fc inabikiwa na point kumi na moja
No comments:
Post a Comment