Saturday, January 3, 2015

JUX ARUSHA DONGO LA HATARI KWA DIAMOND PLATNUM

i wish you happy chrismass and happy new




Mapenzi kati ya Msanii Jux na Vanessa Mdee yanazidi kuchukua headline mpya kwenye mitandao ya kijamii kila iitwapo leo, mapema leo Jux kupitia akaunti yake ya twitter amerusha dongo kwa Diamond Platnumz baada ya mapenzi kati ya Diamond Platnumz na Zari The Boss lady kuwa ni project ana kupitia twitter ameandika hivi 
Nah project or series! We just the realest!

No comments:

Post a Comment