Habari mbali mbali za kitaifa;kimataifa;michezo na burudani;
tunakuhabarisha kutoka ludewa mkoa wa Njombe na wilaya ya Ludewa
Wednesday, January 28, 2015
AZAM FC YACHAPWA 1-0 NA TP MAZEMBE
Azam FC imefungwa bao 1-0 na TP Mazembe katika mashindano ya timu nne yaliyoanza leo mjini Lubumbashi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Hata hivyo, taarifa haijamtaja mfungaji wa bao la Mazembe.
No comments:
Post a Comment